Adbox

Wednesday, March 4, 2020

Waziri wa ulinzi wa Uturuki azungumza na muakilishi maalumu wa Marekani Syria kuhusu Idlib

Waziri wa ulinzi wa Uturuki Hulusi Akar azungumza na  muakilishi maalumu wa Marekani Syria  James Jeffrey na balozi wa Marekani mjini Ankara David Satterfield.

Mazungumzo kati ya waziri huyo wa Uturuki  na wawakilishi hao wa Marekani yamegubikwa na  masuala tofauti ikiwemo  ushirikiano na hali iliopo katika ukanda na hususan hali iliopo nchini Syria baada ya kuuawa kwa wanajeshi wa Uturuki Idlib.

Zaidi wanajeshi 30 wa Uturuki waliuawa na jeshi la Syria Idlib wiki iliopita.

Tume  ya Marekani na ile ya Uturuki kwanza zilimejadili kuhusu Idlib, mkutano huo uliongozwa na makamu wa waziri Yunus Emre Karaosmanoğlu.

No comments:

Post a Comment

Adbox