Rais Museveni amesema wafanyabiashara wanaopandisha bei ya chakula kisa corona watafutiwa leseni zao na hawatopewa tena
”nitatuma Watu kuchunguza nikikubaini hautofanya biashara hapa tena, mimi ni mkulima sioni haja ya kupandisha bidhaa bei kisa corona"
Wednesday, March 25, 2020
Atakayepandisha bei kisa corona kufutiwa leseni- Museveni
Tags
# Top News
About Sultan Mapigo
SULTAN MAPIGO: Kuwa wa kwanza kuhabarika, Tafadhari usisahau kusubscribe kushare na kucomment
Top News
Tags:
Top News
Subscribe to:
Post Comments (Atom)


No comments:
Post a Comment