Adbox

Tuesday, November 26, 2019

Taarifa muhimu kutoka Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF)

Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) Novemba 28, 2019 utazindua Mpango wa Vifurushi vya Bima ya Afya ambao utamwezesha kila Mtanzania kujiunga kulingana na mahitaji yake, ikiwa ni mtu mmoja mmoja, mtu na mwenza, mtu na watoto n.k.

No comments:

Post a Comment

Adbox