Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola (katikati), akizungumza katika kikao cha kupokea taarifa ya Kamati ya Uchunguzi wa Watumishi waliokuwa wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) kuuziwa magari ya Serikali, kilichofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Wizara, jijini Dodoma, leo. Kamati hiyo iliteuliwa na Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Meja Jenerali Jacob Kingu (kulia), Septemba 16, 2019 na ilipewa hadidu za rejea 13 kwa ajili ya kufanikisha kazi hiyo. |
Tuesday, October 22, 2019
Home
/
Top News
/
Waziri Lugola apokea taarifa ya uchunguzi wa watumishi waliokuwa NIDA kuuziwa magari ya Serikali
Waziri Lugola apokea taarifa ya uchunguzi wa watumishi waliokuwa NIDA kuuziwa magari ya Serikali
Tags
# Top News
About Sultan Mapigo
SULTAN MAPIGO: Kuwa wa kwanza kuhabarika, Tafadhari usisahau kusubscribe kushare na kucomment
Top News
Tags:
Top News
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment