Baada ya kufunga goli jana kwenye mechi dhidi ya Slavia, Messi amekua mchezaji wa kwanza kufunga goli kwenye misimu 15 ya Champions League mfululizo.
Maana yake ni kwamba tangu msimu wa 2005/2006 hadi leo 2019/20 Messi bado anacheka na nyavu kila msimu kwenye Champions League.
Msimu wa 2011/12 ndio alifunga magoli mengi ambayo ni 14, huku jumla hadi sasa amefunga jumla ya magoli 113 kwenye Champions League pekee.
Thursday, October 24, 2019
Messi aweka Rekodi mpya michuano ya UEFA
Tags
# Top News
About Sultan Mapigo
SULTAN MAPIGO: Kuwa wa kwanza kuhabarika, Tafadhari usisahau kusubscribe kushare na kucomment
Top News
Tags:
Top News
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment