Klabu ya soka ya Simba SC imeweka hadharani kikosi cha wachezaji wake ambao wataanza kwenye mchezo wao wa ligi kuu Tanzania bara dhidi ya Biashara United.
Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa leo (Jumapili) majira ya saa 10 jioni katika uwanja wa Karumbe mjini Musoma.
Kwa sasa Simba inaongoza ligi kuu ikiwa na alama tisa wakifuatiwa na Kagera Sugar wenye alama alama tisa huku wakiwa tayari wameshacheza michezo minne.
Sunday, September 29, 2019
Simba yaweka wazi kikosi chake kitakachocheza na Biashara leo
Tags
# Top News
About Sultan Mapigo
SULTAN MAPIGO: Kuwa wa kwanza kuhabarika, Tafadhari usisahau kusubscribe kushare na kucomment
Top News
Tags:
Top News
Subscribe to:
Post Comments (Atom)



No comments:
Post a Comment