| Balozi wa Zimbabwe nchini Tanzania, Lt. Jenerali Mstaafu, Anselem Nhamo Sanyatwe akizungumza na viongozi wa Halmashauri ya Wilaya ya kongwa wakati alipowatembelea leo Mjini Dodoma. Kushoto kwake ni Spika wa Bunge na Mbunge wa kongwa, Mhe. Job Ndugai na kulia ni Mkuu wa Wilaya ya Kongwa, Mhe. Deogratius Ndejembi |
Monday, September 23, 2019
Picha: Spika Ndugai akutana na Balozi wa Zimbabwe nchini
Tags
# Top News
About Sultan Mapigo
SULTAN MAPIGO: Kuwa wa kwanza kuhabarika, Tafadhari usisahau kusubscribe kushare na kucomment
Top News
Tags:
Top News
Subscribe to:
Post Comments (Atom)




No comments:
Post a Comment