Michuano ya CECAFA U20 imeendelea kwa mchezo wa Ethiopia dhidi Tanzania Bara na haya ndio matokeo ya mchezo huo.
Katika mchezo huo Andrew Simchimba amepiga hat-trick na kuiwezeshaTanzania kuibuka na ushindi wa mabao 4-0 dhidi ya Ethiopia katika mchezo wake wa kwanza uliomalizika hivi punde, Jinja nchini Uganda.
Sunday, September 22, 2019
Matokeo ya michuano ya CECAFA U20 leo
Tags
# Top News
About Sultan Mapigo
SULTAN MAPIGO: Kuwa wa kwanza kuhabarika, Tafadhari usisahau kusubscribe kushare na kucomment
Top News
Tags:
Top News
Subscribe to:
Post Comments (Atom)



No comments:
Post a Comment