Adbox

Saturday, July 13, 2019

Waitara ahimiza wazazi na walezi wenye uwezo kuchangia maendeleo ya shule

Naibu Waziri Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa anayeshughulikia elimu Mhe.Mwita Mwikwabe Waitara (MB) amesema kuwa serikali haijakataza michango shuleni isipokuwa ile iliyokuwa ya lazima na akataka michango hiyo ifuate mwongozo wa serikali wa kuchangia.

No comments:

Post a Comment

Adbox