Klabu ya Chelsea imeweza kuibuka na ushindi wa mabao 4-0 dhidi ya klabu ya St Patrick, ambapo ushindi huo unakua wa kwanza kwa Chelsea ikiwa chini ya kocha Frank Lampard.
Magoli ya Chelsea yaliwekwa kambani na Mason Mount, Emerson Palmieri na Olivier Giroud aliyeingia kutokea benchi na kuipatia mabao mawili timu yake.
Saturday, July 13, 2019
Frank Lampard apata ushindi wake wa kwanza akiwa kocha wa Chelsea
Tags
# Michezo
About Sultan Mapigo
SULTAN MAPIGO: Kuwa wa kwanza kuhabarika, Tafadhari usisahau kusubscribe kushare na kucomment
Michezo
Tags:
Michezo
Subscribe to:
Post Comments (Atom)


No comments:
Post a Comment