Adbox

Saturday, July 13, 2019

CCM Dodoma yajinasibu kushinda kwa kishindo uchaguzi Serikali za Mitaa

Katika kuelekea uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaotarajia kufanyika mapema mwezi Septemba mwaka huu,Mbunge wa Jimbo la Dodoma Mjini Mh.Antony Mavunde,ametoa vifaa vya uenezi (Spika na visemeo) pamoja na Bendera za chama cha Mapinduzi (CCM) kwa kila kata pamoja na uongozi wa wilaya wa Jumuiya kwa ajili ya kurahisisha shughuli za uchaguzi huo.

No comments:

Post a Comment

Adbox