Katika kuelekea uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaotarajia kufanyika mapema mwezi Septemba mwaka huu,Mbunge wa Jimbo la Dodoma Mjini Mh.Antony Mavunde,ametoa vifaa vya uenezi (Spika na visemeo) pamoja na Bendera za chama cha Mapinduzi (CCM) kwa kila kata pamoja na uongozi wa wilaya wa Jumuiya kwa ajili ya kurahisisha shughuli za uchaguzi huo.
Saturday, July 13, 2019
CCM Dodoma yajinasibu kushinda kwa kishindo uchaguzi Serikali za Mitaa
Tags
# Habari
About Sultan Mapigo
SULTAN MAPIGO: Kuwa wa kwanza kuhabarika, Tafadhari usisahau kusubscribe kushare na kucomment
Habari
Tags:
Habari
Subscribe to:
Post Comments (Atom)


No comments:
Post a Comment