Urusi imeendelea kutuma vifaa vya mfumo wake wa kujilinda na makombora angani chapa S-400 kwenye kambi ya kijeshi iliyopo karibu na mji mkuu wa Uturuki, Ankara.
Tayari ndege tano kati ya sita zinazobeba vifaa vya mfumo huo zimewasili, wakati ndege ya saba ikwa inasubiriwa.
Uturuki itakuwa taifa la kwanza mwanachama wa NATO kuwa na mtambo huo wa kisasa kutoka Urusi.
Uturuki tayari shehena nne za mfumo huo wa S-400 na wamepuuzilia mbali vitisho vya vikwazo kutoka kwa Marekani kwa kununua mfumo huo wa Urusi.
Monday, July 15, 2019
Urusi yaendelea kutumia vifaa vya mfumo wa kujilinda na makombora
Tags
# Habari
About Sultan Mapigo
SULTAN MAPIGO: Kuwa wa kwanza kuhabarika, Tafadhari usisahau kusubscribe kushare na kucomment
Habari
Tags:
Habari
Subscribe to:
Post Comments (Atom)


No comments:
Post a Comment