Adbox

Sunday, July 28, 2019

Taifa Stars yashindwa kuutumia vizuri uwanja wa nyumbani

Mchezo wa kuwania kufuzu michuano ya Chan kati ya Taifa Stars na Kenya umekamilika uwanja wa Taifa, Dar es Salaam kwa sare ya bila kufungana.
Kwa matokeo hayo ya leo, Taifa Stars ina kazi kubwa ya kufanya kwenye mchezo wa marudio utakaochezwa nchini Kenya August 4 mwaka huu.

No comments:

Post a Comment

Adbox