Katika mazungumzo yao kwa njia ya simu viongozi hao wamezungumza mbinu za kukabiliana na virusi hivyo ambavyo tayari vimesababisha maafa makumwa nchini Italia.
Waziri wa mambo ya nje wa Uturuki ametoa salamu za rambi rambi kwa Italia kufuatia maafa makubwa yaliosababishwa na virusi hivyo.
Watu zaidi ya 820 wamefariki nchini Italia tangu kulipuka kwa janga hilo la virusi vya Covid-19


No comments:
Post a Comment