Watu 3661 wameripotiwa kuambukizwa virusi vya corona.
Taarifa kuhusu idadi hiyo kuongezeka imetolewa na waziri wa afya Olivier Veran katika mkutano na waandishi wa habari.
Watu 18 wamefariki kwa muda wa masaa 24.
Waziri wa afya wa Ufaransa amefahamisha kuwa watu 154 walioathirika na virusi vya corona wapo katika hali maututi katika chumba maalumu cha matibabu.

No comments:
Post a Comment