Waziri wa ulinzi wa Uturuki, Hulusi Akar, akiwa na mkuu wa majeshi Jenerali Yaşar Güler pamoja na mkuu wa vikosi vya nchi kavu Jenerali Ümit Dündar kwa pamoja wamekagua vikosi vya majeshi ya Uturuki vilivyopo mpakani mwa Syria.
Katika uwanja wa ndege wa Hatay walipokelewa na kamanda wa vikosi hivyo Sinan Yayla na viongozi wengine. Akar na viongozi wengine wa jeshi wapo katika ukaguzi wa vikosi vya jeshi.
Saturday, February 22, 2020
Home
/
Top News
/
Waziri wa ulinzi wa Uturuki, Mkuu wa majeshi la majenerali watembelea mpaka wa Syria
Waziri wa ulinzi wa Uturuki, Mkuu wa majeshi la majenerali watembelea mpaka wa Syria
Tags
# Top News
About Sultan Mapigo
SULTAN MAPIGO: Kuwa wa kwanza kuhabarika, Tafadhari usisahau kusubscribe kushare na kucomment
Top News
Tags:
Top News
Subscribe to:
Post Comments (Atom)


No comments:
Post a Comment