Lakini kulingana na takwimu hizo idadi ya vifo bado inapanda na katika kipindi cha masaa 24 yaliyopita vifo vipya 143 vilirikodiwa.Kwa mara ya kwanza siku ya Ijumaa, China ilitangaza takwimu za maambukizi ya virusi vya Corona kwa wafanyakazi wa afya na kuthibitisha zaidi ya watumishi 1,700 wafanyakazi wa hospitali wameambukizwa virusi hivyo.
Virusi vya Coorna vilivyozuka kwenye mji wa Wuhan Disemba iliyopita tayari vimesambaa kwenye mataifa kadhaa ulimwenguni na kusababsiha kitisho kikubwa cha afya duniani.


No comments:
Post a Comment