Mchezo wao uliopita walipoteza usiku kwa kufungwa mabao 3-2 na Spurs ya Jose Mourinho.
Huu utakuwa mchezo wa tatu kwa Samatta katika Ligi Kuu ya England tangu ajiunge na klabu hiyo kwa mkataba wa miaka minne na nusu akitokea Klabu ya Genk.
Villa ipo nafasi ya 17 ina pointi 25 baada ya kucheza mechi 26 inaparanganyika kujiokoa kushuka daraja.


No comments:
Post a Comment