Rais Magufuli leo February 02, 2020 ametuma salamu za rambirambi kwa Familia za Watu 20 waliopoteza maisha wakati wakitoka katika Ibada huko Moshi, Kilimanjaro na kwa Familia za Watu zaidi ya 20 waliopoteza maisha kutokana na madhara ya mvua kubwa Mkoani Lindi na Mikoa mingine.
Sunday, February 2, 2020
Rais Magufuli atoa salam za pole kufuatia vifo vya Moshi, Lindi
Tags
# Top News
About Sultan Mapigo
SULTAN MAPIGO: Kuwa wa kwanza kuhabarika, Tafadhari usisahau kusubscribe kushare na kucomment
Top News
Tags:
Top News
Subscribe to:
Post Comments (Atom)



No comments:
Post a Comment