Adbox

Thursday, February 20, 2020

Rais Macron na Trump wazungumza kuhusu mapambano dhidi ya ugaidi Sahel

Rais wa Marekani Donald Trump azungumza kwa njia ya simu na rais wa Ufaransa Emmanuel Macron.

Imeripotiwa kuwa mazungumzo kati ya viongozi hao wawili  yaligubikwa na  mada kuu ambayo ilikuwa umuhimu wa jeshi la kujiham Magharibi NATO.

Msemaji wa ikulu ya White House mjini Washington Judd Deere amesema kuwa mazungumzo kati ya rais Truump na Macron kwa njia ya simu yamefanyika Jumanne.

Masuala tofauti kuhusu ushirikiano kati  ya Marekani na Ufaransa yamejadiliwa kati ya  marais hao wawili.

Mapambano dhidi ya ugaidi Sahel ambayo yanendeshwa na jeshi la Ufaransa  yamezungumziwa pia.

No comments:

Post a Comment

Adbox