Manchester United imefikisha michezo mitatu bila ya kuibuka na ushindi kwenye Ligi Kuu ya Uingereza baada ya jana kutoka suluhu na Wolverhampton Wanderers kwenye dimba la Old Trafford.
Mchezaji mpya wa United Bruno Fernandes, aliweza kucheza mechi yake ya kwanza akiwa na timu hiyo kwenye Ligi kuu ya Uingereza baada ya kusajiliwa kwenye dirisha la Januari lillilofungwa hivi karibuni.
Sunday, February 2, 2020
Manchester United yaendelea kuchechemea
Tags
# Top News
About Sultan Mapigo
SULTAN MAPIGO: Kuwa wa kwanza kuhabarika, Tafadhari usisahau kusubscribe kushare na kucomment
Top News
Tags:
Top News
Subscribe to:
Post Comments (Atom)


No comments:
Post a Comment