Ratiba ya treni ya abiria ya Deluxe itakayokuwa ikifanya safari zake kati ya Dar es Salaam - Moshi - Dar es Salaam. Safari zitakuwa nne kwa wiki, mbili kwenda Moshi (Jumanne na Ijumaa) na mbili za kurejea Dar es Salaam (Jumatano na Jumamosi), ambapo kila moja itatumia saa 16.
Thursday, December 5, 2019
Ratiba ya treni ya Abiria kati ya Dar es Salaam hadi Moshi hii hapa
Tags
# Top News
About Sultan Mapigo
SULTAN MAPIGO: Kuwa wa kwanza kuhabarika, Tafadhari usisahau kusubscribe kushare na kucomment
Top News
Tags:
Top News
Subscribe to:
Post Comments (Atom)



No comments:
Post a Comment