Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli na mkewe Mama Janeth Magufuli wakishiriki Ibada ya Misa takatifu dominika ya 34 ya Mwaka “C” iliyofanyika katika kanisa la Mtakatifu Bikira Maria Imaculata Parokia ya Chamwino Ikulu Jijini Dodom Novemba 24, 2019.
Hii ni mara ya Kwanza kwa Rais na Familia yake kushiriki misa katika parokia hii toka ahamie rasmi Jijini Dodoma.
Sunday, November 24, 2019
Home
/
Top News
/
Rais Magufuli na Mkewe waudhuria Misa Takatifu katika Parokia ya Mt. Maria Imaculata Chamwino Dodoma
Rais Magufuli na Mkewe waudhuria Misa Takatifu katika Parokia ya Mt. Maria Imaculata Chamwino Dodoma
Tags
# Top News
About Sultan Mapigo
SULTAN MAPIGO: Kuwa wa kwanza kuhabarika, Tafadhari usisahau kusubscribe kushare na kucomment
Top News
Tags:
Top News
Subscribe to:
Post Comments (Atom)





No comments:
Post a Comment