Rais John Magufuli ameweke jiwe la msingi la ujenzi wa Soko Kuu la Dodoma na kupendekeza soko hilo liitwe Soko Kuu la Ndugai.
Ujenzi wa soko hilo la kimataifa utakamilika Februari 2020 kwa gharama ya shilingi Bilioni 14.4.
Friday, November 22, 2019
Rais Magufuli apendekeza Soko Kuu la Dodoma kuitwa soko la Ndugai
Tags
# Top News
About Sultan Mapigo
SULTAN MAPIGO: Kuwa wa kwanza kuhabarika, Tafadhari usisahau kusubscribe kushare na kucomment
Top News
Tags:
Top News
Subscribe to:
Post Comments (Atom)



No comments:
Post a Comment