Adbox

Friday, November 22, 2019

Rais Magufuli apendekeza Soko Kuu la Dodoma kuitwa soko la Ndugai

Rais John Magufuli ameweke jiwe la msingi la ujenzi wa Soko Kuu la Dodoma na kupendekeza  soko hilo liitwe Soko Kuu la Ndugai.

Ujenzi wa soko hilo la kimataifa utakamilika Februari 2020 kwa gharama ya shilingi Bilioni 14.4.

No comments:

Post a Comment

Adbox