Klabu ya soka ya Hilal Al Fasher ya Sudan imepata ajali barabarani asubuhi ya jana ikiwa njiani kwenda kucheza mechi ya ligi.
Taarifa zinasema katika ajali hiyo, kocha msaidizi amefariki dunia huku wachezaji kadhaa na viongozi wa benchi la ufundi wakiwa katika hali mbaya.
Monday, November 25, 2019
Klabu ya Hilal Al Fasher ya Sudan yapata ajali
Tags
# Top News
About Sultan Mapigo
SULTAN MAPIGO: Kuwa wa kwanza kuhabarika, Tafadhari usisahau kusubscribe kushare na kucomment
Top News
Tags:
Top News
Subscribe to:
Post Comments (Atom)


No comments:
Post a Comment