Watu 9 wa familia moja ni miongoni mwa watu 27 waliofariki dunia baada ya ndege ya abiria kuanguka kwenye nyumba za watu mjini Goma, DR Congo muda mfupi baada ya kuruka.
Ndege hiyo (Dornier-228 twin-turboprop) ilikuwa na watu 19, ilikuwa ikiruka kutoka Goma kwenda Beni, umbali wa KM 350.
Taarifa za awali zinadai kuwa ndege hiyo ndogo ilipata hitilafu ya injini kabla ya kuanguka.
Monday, November 25, 2019
DR Congo: Watu 9 wa familia moja wafariki kwenye ajali ya ndege
Tags
# Top News
About Sultan Mapigo
SULTAN MAPIGO: Kuwa wa kwanza kuhabarika, Tafadhari usisahau kusubscribe kushare na kucomment
Top News
Tags:
Top News
Subscribe to:
Post Comments (Atom)



No comments:
Post a Comment