Adbox

Sunday, October 27, 2019

Wajumbe kamati ya uongozi CWP kanda ya Afrika wakutana jijini Arusha

Mwenyekiti wa Chama cha Wabunge wanawake wa Mabunge ya Jumuiya ya Madola Kanda ya Afrika (CWP Africa Region), Mhe. Zainab Gimba akiongoza kikao cha kamati ya uongozi kilichofanyika leo katika hoteli ya Gran Melia Jijini Arusha. Wa tatu kulia ni Mwenyekiti wa Chama cha Wabunge wanawake wa Mabunge ya Jumuiya ya Madola Duniani, Mhe. Shandana Gulzar Khan

Mwenyekiti wa Chama cha Wabunge wanawake wa Mabunge ya Jumuiya ya Madola Duniani, Mhe. Shandana Gulzar Khan akielezea jambo katika kikao cha kamati ya uongozi kilichofanyika leo katika hoteli ya Gran Melia Jijini Arusha.

Katibu Msaidizi wa Chama cha Wabunge wa Mabunge ya Jumuiya ya Madola Kanda ya Afrika, Ndg. Saidi Yakubu akizungumza na Wajumbe wa kamati ya uongozi wakati wa kikao kilichofanyika leo katika hoteli ya Gran Melia Jijini Arusha. Wa tatu kulia ni Mwenyekiti wa Chama cha Wabunge wanawake wa Mabunge ya Jumuiya ya Madola Duniani, Mhe. Shandana Gulzar Khan na kushoto kwake ni Mwenyekiti wa Chama cha Wabunge wanawake wa Mabunge ya Jumuiya ya Madola Kanda ya Afrika, Mhe. Zainab Gimba.

No comments:

Post a Comment

Adbox