Rais wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli, Leo anawaongoza Watanzania kupokea ndege mpya ya Pili aina ya Boeing 787-8 Dreamline iliyonunuliwa na Serikali kwa ajili ya Kampuni ya Ndege Tanzania (ATCL).
Ndege hiyo kubwa yenye uwezo wa kubeba abiria 262, inatarajiwa kutua majira ya mchana katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam ikitokea nchini Marekani.
Hiyo inakuwa ndege ya Nane kati ya ndege 11 zilizonunuliwa na Serikali kwa lengo la kuiimarisha Kampuni ya Ndege Tanzania , kukuza Utalii pamoja na Uchumi.
Saturday, October 26, 2019
Ndege ya 8 kati ya 11 zilizonunuliwa na Serikali kuwasili leo
Tags
# Top News
About Sultan Mapigo
SULTAN MAPIGO: Kuwa wa kwanza kuhabarika, Tafadhari usisahau kusubscribe kushare na kucomment
Top News
Tags:
Top News
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment