Wakati baadhi ya watuhumiwa wa kesi za uhujumu uchumi wakiwa tayari wamekiri makosa na kulipa faini na fidia Mahakamani huku wengine wakiendelea na mchakato wa mazungumzo na DPP, taarifa mpya kwa sasa ni wizi wa kompyuta kwenye ofisi za DPP.
Polisi Kanda maalum ya Dar es Salaam, Lazaro Mambosasa wamethibitisha kupokea taarifa ya wizi huo wa Kompyuta katika Ofisi ya Mkurugenzi wa Mashitaka Nchini (DPP) kanda ya DSM.
Kamanda Mambosasa amesema wamepokea taarifa hiyo Jumanne asubuhi October 15, 2019 na kwamba mpaka sasa hakuna aliyekamatwa ila wanaendelea na uchunguzi kuwabaini waliohusika.
Friday, October 18, 2019
Kompyuta za DPP zadaiwa kuibwa
Tags
# Top News
About Sultan Mapigo
SULTAN MAPIGO: Kuwa wa kwanza kuhabarika, Tafadhari usisahau kusubscribe kushare na kucomment
Top News
Tags:
Top News
Subscribe to:
Post Comments (Atom)


No comments:
Post a Comment