Taarifa iliyotolewa na Basata imeeleza kuwa hii ishara kwamba wasanii hao wanakubalika ndani na nje ya Tanzania, hivyo basi Ushindi huu uwe ni fursa ya kupanua wigo wa kazi zao kuingia katika soko la kimataifa Zaidi.
Diamond Platnumz ameshinda tuzo ya African Entertainment Awards USA (AEAUSA) kwenye kipengele cha ‘Best Collaboration Award’ kupitia wimbo wake wa Baila.
Huku Rayvanny na Nandy kwenye vipengele vya Best Male/Female in East, South and North Africa.
Pia Mtangazaji wa kituo cha Times FM, Lil Ommy naye ameshinda tuzo ya ‘Best Host’, Huku Babu Tale akichukua tuzo ya Meneja bora wa wasanii barani Afrika.
No comments:
Post a Comment