Abiria zaidi ya 50 waliokuwa wakisafiri kutoka Mbeya kuelekea mkoani Songea wamenusurika kufa baada ya basi lao aina ya Huger la Kampuni ya Superfeo lenye namba ya usajili T885 DJS kupasuka tairi ya kushoto na hivyo kuacha njia na kuingia porini katika Kijiji cha Mkongotema Halmashauri ya Wilaya ya Madaba mkoani Ruvuma.
Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Ruvuma, Simon Maigwa amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo na kuongeza kuwa chanzo cha ajali hiyo hakijajulikana lakini uchungu unaendelea.
Tuesday, October 29, 2019
Abiria zaidi 50 wanasurika kifo baada ya basi kupasuka tairi la mbele
Tags
# Top News
About Sultan Mapigo
SULTAN MAPIGO: Kuwa wa kwanza kuhabarika, Tafadhari usisahau kusubscribe kushare na kucomment
Top News
Tags:
Top News
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment