Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Palamagamba John Kabudi (Mb) akifuatilia maelezo kutoka kwa Balozi wa kudumu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa uliopo New York,Marekani Balozi Modest Mero .
Prof. Kabudi yupo New York Marekani kumwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli katika mkutano wa 74 wa Baraza la kudumu la Umoja wa Mataifa unaofanyika New York,Marekani tangu Septemba 21,2019 hadi Septemba 30,2019.
Monday, September 23, 2019
Home
/
Top News
/
Waziri Prof. Kabudi kumwakilisha Rais Magufuli katika mkutano wa Baraza la kudumu la Umoja wa Mataifa Marekani
Waziri Prof. Kabudi kumwakilisha Rais Magufuli katika mkutano wa Baraza la kudumu la Umoja wa Mataifa Marekani
Tags
# Top News
About Sultan Mapigo
SULTAN MAPIGO: Kuwa wa kwanza kuhabarika, Tafadhari usisahau kusubscribe kushare na kucomment
Top News
Tags:
Top News
Subscribe to:
Post Comments (Atom)




No comments:
Post a Comment