Mbunge wa Singida Mashariki (CCM), Miraji Mtaturu leo ameuliza swali lake la kwanza bungeni baada ya kuapishwa.
Spika, Job Ndugai baada ya kumuona alisema, “Nimekuona Mbunge Mtaturu naomba uulize swali la nyongeza.”
Mtaturu amesema , “Ninaomba mheshimiwa Waziri anihakikishie kwamba kupitia tathmini iliyofanyika na ipo wizarani, tunahitaji jumla ya Sh2 bilioni tuweze kuwatengenezea miundombinu ya maji wananchi wa Singida Mashariki.”
Akijibu swali hilo Aweso amesema, “Awali ya yote kwanza nimpongeze mbunge, kwanza namfahamu vizuri alikuwa mkuu wa wilaya lakini nataka niwahakikishie wana Singida Mashariki hili ni jembe alitumie vizuri.”
Tuesday, September 3, 2019
Swali la kwanza alilouliza Mrithi wa Lissu Bungeni
Tags
# Top News
About Sultan Mapigo
SULTAN MAPIGO: Kuwa wa kwanza kuhabarika, Tafadhari usisahau kusubscribe kushare na kucomment
Top News
Tags:
Top News
Subscribe to:
Post Comments (Atom)


No comments:
Post a Comment