Rais Magufuli ametoa shilingi milioni 10 kwa timu ya taifa ya mpira wa miguu kwa watu wenye ulemavu inayojiandaa kushiriki mashindano ya mpira wa miguu kwa watu wenye ulemavu Afrika (CANAF) yaliyopangwa kuanza tarehe 01 Oktoba, 2019 katika Mji wa Benguela nchini Angola.
Sunday, September 22, 2019
Rais Magufuli achangia milioni 10 timu ya taifa ya walemavu
Tags
# Top News
About Sultan Mapigo
SULTAN MAPIGO: Kuwa wa kwanza kuhabarika, Tafadhari usisahau kusubscribe kushare na kucomment
Top News
Tags:
Top News
Subscribe to:
Post Comments (Atom)


No comments:
Post a Comment