Mkuu wa Jeshi la Polisi (IGP), Simon Sirro amekemea, kuonya na kutoa mwongozo kwa Maofisa wa chombo hicho wafuate dira yake kwa kuwa anayeweza kushika cheo alichonacho ni “mtu mmoja tu” na muda wake ukifika ataondoka.
Hotuba hiyo ya Kamanda Sirro pia iligusia maofisa ambao wamekuwa wakiwahukumu watuhumiwa katika mikutano na waandishi wa habari.
“Huwa nashangaa. Wakati mwingine hivi unamchukua mtuhumiwa, unamuweka pale unamuonyesha kila wakati. Unatafuta sifa?” alihoji.
“Hivi kwenye upelelezi katika mazingira ya kawaida huyo si mtuhumiwa tu? Leo unamtoa hadharani kaiba, unasahau kesho na keshokutwa. Kwenu huko Musoma anakushtaki kwamba kuna siku ulinidhalilisha mimi kuwa mwizi. Vitu vingine tushauriane, si ndiyo.”
Wednesday, September 25, 2019
Polisi wakemewa kuwahukumu watuhumiwa hadharani 'unatafuta sifa?'
Tags
# Top News
About Sultan Mapigo
SULTAN MAPIGO: Kuwa wa kwanza kuhabarika, Tafadhari usisahau kusubscribe kushare na kucomment
Top News
Tags:
Top News
Subscribe to:
Post Comments (Atom)


No comments:
Post a Comment