Adbox

Thursday, September 5, 2019

Picha: Mhandisi Masauni akutana na kiongozi wa kiroho wa madhehebu ya Kihindu

Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni, akipokea zawadi iliyotolewa kwa Rais Dkt. John Magufuli na  Kiongozi  Mkuu  wa  Kiroho  wa Madhehebu ya Kihindu, Mtukufu Mahant Swami Maharaj (kushoto).Kiongozi huyo wa kiroho yuko  nchini kwa ziara ya kikazi
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni,akielekezwa shughuli zinazofanywa na Taasisi ya BAPS Swaminarayan Santha,ikiwepo utoaji wa elimu,huduma za kiafya, inayosimamiwa na Kiongozi  Mkuu  wa  Kiroho  wa Madhehebu ya Kihindu, Mtukufu Mahant Swami Maharaj (kushoto).Kiongozi huyo wa kiroho yuko  nchini kwa ziara ya kikazi
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni, akiagana na  Kiongozi  Mkuu  wa  Kiroho  wa Madhehebu ya Kihindu, Mtukufu Mahant Swami Maharaj (kushoto).Kiongozi huyo wa kiroho yuko  nchini kwa ziara ya kikazi

No comments:

Post a Comment

Adbox