Adbox

Tuesday, September 3, 2019

PICHA: Makamu wa Rais aungana na familia ya marehemu Kaduma

Makamu wa Rais, Samia Suluhu Hassan leo, Jumanne, Septemba 3, amemwakilisha Rais John Magufuli kwenye shughuli ya kuaga mwili wa mwanasiasa mkongwe na waziri wa zamani wa awamu ya kwanza, Ibrahim Kaduma katika Kanisa la KKKT Makongo Juu, jijini Dar es Salaam.



No comments:

Post a Comment

Adbox