Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mheshimiwa Dk.Ali Mohamed Shein akiwa na Mwenyeji wake mmoja kati ya Viongozi wa juu wa Umoja wa Nchi za Falme za Kiarabu (U.A.E) katika ukumbi wa watu mashuhuri katika Uwanja wa Ndege wa Dubai,mara baada ya kuwasili kwa ajili ya Ziara ya siku saba U.A.E.
Dk. Ali Mohamed Shein ameenda Ras Al Khaimah katika Umoja wa nchi za Falme za Kiarabu (UAE) kwa ziara ya wiki moja kufuatia muwaliko wa kiongozi wa nchi hiyo Sheikh Saud Bin Saqr Al Qasimi.
Monday, September 23, 2019
Dkt. Shein ziarani umoja wa Falme za Kiarabu UAE
Tags
# Top News
About Sultan Mapigo
SULTAN MAPIGO: Kuwa wa kwanza kuhabarika, Tafadhari usisahau kusubscribe kushare na kucomment
Top News
Tags:
Top News
Subscribe to:
Post Comments (Atom)


No comments:
Post a Comment