Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dkt. Damas Ndumbaro, amekutana na kufanya mazungumzo na Mwakilishi wa Shirika la Afya Duniani (WHO) Dkt. Tigest Ketsela Mengestu. Mazungumzo hayo yamefanyika katika Ofisi ndogo ya Wizara jijini Dar es Salaam
Tuesday, September 24, 2019
Dkt. Ndumbaro afanya mazungumzo na Mwakilishi wa WHO
Tags
# Top News
About Sultan Mapigo
SULTAN MAPIGO: Kuwa wa kwanza kuhabarika, Tafadhari usisahau kusubscribe kushare na kucomment
Top News
Tags:
Top News
Subscribe to:
Post Comments (Atom)



No comments:
Post a Comment