Shirika la Taifa la Mafuta la China (CNPC) ambalo linaongoza kwa uzalishaji na usambazaji wa mafuta na gesi, limetafiti hifadhi mpya ya gesi na mafuta.
Taarifa iliyotolewa na Shirika hilo jana imesema, limegundua uwanja wa mafuta wenye tani bilioni 1 za mafuta katika eneo la kaskazini magharibi mwa China.
Makamu rais wa Kampuni ya PetroChina, ambayo ni tawi la CNPC Li Luguang amesema, jumla ya tani 640,000 za mafuta zitazalishwa katika eneo hilo kwa mwaka huu, na litafikia tani milioni 3 kwa mwaka katika siku zijazo.
Monday, September 30, 2019
China yagundua eneo lenye mafuta Tani Bilioni 1
Tags
# Top News
About Sultan Mapigo
SULTAN MAPIGO: Kuwa wa kwanza kuhabarika, Tafadhari usisahau kusubscribe kushare na kucomment
Top News
Tags:
Top News
Subscribe to:
Post Comments (Atom)


No comments:
Post a Comment