Serikali ya Tanzania imesitisha safari zake za ndege kwenda nchini Afrika Kusini kutokana na vurugu zinazoendelea nchini humo.
Waziri wa Ujenzi Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Isack Kamwelwe amesema watasitisha kwa muda safari hizo mpaka pale serikali ya Afrika Kusini itakapowapa thibitisha kwa maandishi juu ya usalama wa abiria na chombo vyombo vya usafiri.
Thursday, September 5, 2019
BREAKING: Tanzania yasitisha safari za ndege kwenda Afrika Kusini
Tags
# Top News
About Sultan Mapigo
SULTAN MAPIGO: Kuwa wa kwanza kuhabarika, Tafadhari usisahau kusubscribe kushare na kucomment
Top News
Tags:
Top News
Subscribe to:
Post Comments (Atom)


No comments:
Post a Comment