Marais wastaafu wa Serikali ya Tanzania Benjamin Mkapa, Jakaya Kikwete, Amani Abeid Karume wakiwa na Katibu Mkuu Kiongozi Ikulu Balozi John Kijazi wakiangalia jarida linalohusu mkutano wa 39 wa Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika SADC 2019.
Leo Agosti 17,2019 Wastaafu hao wapo katika mkutano mkuu wa Jumuiya hiyo unaofanyika katika ukumbi wa mikutano wa kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam.
Saturday, August 17, 2019
Picha: Marais Wastaafu wakiangalia Jarida linalohusu mkutano wa 39 wa SADC
Tags
# Top News
About Sultan Mapigo
SULTAN MAPIGO: Kuwa wa kwanza kuhabarika, Tafadhari usisahau kusubscribe kushare na kucomment
Top News
Tags:
Top News
Subscribe to:
Post Comments (Atom)


No comments:
Post a Comment