Rais John Magufuli amemteua Jaji mstaafu Ibrahim Mipawa kuwa Mwenyekiti wa Baraza la Maadili ya Viongozi wa Umma.
Jaji Mipawa anachukua nafasi Jaji mstaafu Januari Msofe ambaye ameteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania. Uteuzi wa Jaji Mipawa umeanza Agosti,7 mwaka 2019.
Tuesday, August 13, 2019
BREAKING: Rais Magufuli afanya uteuzi
Tags
# Top News
About Sultan Mapigo
SULTAN MAPIGO: Kuwa wa kwanza kuhabarika, Tafadhari usisahau kusubscribe kushare na kucomment
Top News
Tags:
Top News
Subscribe to:
Post Comments (Atom)



No comments:
Post a Comment