Adbox

Thursday, August 15, 2019

Askofu Pengo ang’atuka, mrithi wake ateuliwa

leo Agosti 15 Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani, Baba Mtakatifu Francis amekubali ombi la Mwadhama Polycarp Karnidali Pengo la kustaafu katika majukumu ya kuliongoza Jimbo Kuu la Dar es Salaam na nafasi yake inachukuliwa na Askofu Mkuu Yuda Thaddaeus Ruwa’ichi.

No comments:

Post a Comment

Adbox