Mwanaume aliefahamika kwa jina la Samwel Temu (40) mkazi wa Sanawari jijini Arusha , anashikiliwa na Jeshi la Polisi mkoani Manyara kwa kosa la kukutwa na noti bandia nane za elfu kumi kitendo ambacho ni kosa la jinai.
Mtu huyo alikamatwa huko Songambele kata ya Mirerani wilaya ya Simanjiro mkoani hapa July 14 mwaka huu.Aidha Kamanda Senga amewatahadharisha wananchi wa Mkoa wa Manyara kuwa makini na fedha za mtuhumiwa huyo ambazo tayari zipo kwenye mzunguko
Friday, July 19, 2019
Wakamatwa na dawa za kulevya na noti bandia
Tags
# Habari
About Sultan Mapigo
SULTAN MAPIGO: Kuwa wa kwanza kuhabarika, Tafadhari usisahau kusubscribe kushare na kucomment
Habari
Tags:
Habari
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment