Baada ya kuongoza Liverpool kutawazwa wafalme wa klabu bingwa Ulaya (UEFA), beki Virgil van Dijk wa Uholanzi alitachaguliwa mchezaji bora wa mwaka katika ligi kuu ya Uingereza (EPL) msimu uliopita.
Mholanzi huyu kwa sasa anapigiwa upatu wa kunyanyua taji la Ballon d'Or ambalo mhezaji bora zaidi duniani hutangazwa Disemba ya kila mwaka baada ya wawaniaji kuorodheshwa mwezi Oktoba.
Wachezaji wanne kati ya sita wanaopigiwa upatu wa kunyakua taji hilo ni Lionel Messi, Cristiano Ronaldo, Mohamed Salah, Sadio Mane na kipa Alisson Becker.
Monday, July 29, 2019
Van Dijk ana kila sababu ya kunyakua Ballon d'Or
Tags
# Tetesi za soka leo
About Sultan Mapigo
SULTAN MAPIGO: Kuwa wa kwanza kuhabarika, Tafadhari usisahau kusubscribe kushare na kucomment
Tetesi za soka leo
Tags:
Tetesi za soka leo
Subscribe to:
Post Comments (Atom)


No comments:
Post a Comment