TAASISI ya ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) mkoani Manyara imetoa Onyo kali kwa wanaochafua Taasisi hiyo kwa kujifanya wao ni maafisa wa Takukuru kwa lengo la kuomba Rushwa.
Akizungumza na Waaandishi wa Habari mkoani hapa wakati akitoa taarifa ya utendaji kwa miezi mitatu,amewaomba wananchi wasikubali kukutana na mtu anayejitambulisha anatokea ofisi za TAKUKURU bali afike ofisini na atasikilizwa.
Tuesday, July 16, 2019
TAKUKURU yatoa tahadhari hii kwa wananchi
Tags
# Habari
About Sultan Mapigo
SULTAN MAPIGO: Kuwa wa kwanza kuhabarika, Tafadhari usisahau kusubscribe kushare na kucomment
Habari
Tags:
Habari
Subscribe to:
Post Comments (Atom)


No comments:
Post a Comment