Takriban watu milioni moja wameenda Saudi Arabia kwa ajili ya kufanya Hija.
Idadi hiyo imetolewa na shirika la habari la Saudi Arabia SPA.
Kulingana na shirika la habari la Saudi Arabia (SPA), idadi ya wale ambao wamekwenda katika nchi takatifu kufanya ibada ya Hija ni karibu milioni 1.
Kulingana na takwimu rasmi, watu milioni 2,371,000 675 walifanya ibada ya Hija mwaka jana.
Mwaka huu msimu wa Hija utaanza katika siku za kwanza za mwezi Agosti.
Sunday, July 28, 2019
Takriban watu milioni 1 waenda Saudi Arabia kufanya Hija
Tags
# Top News
About Sultan Mapigo
SULTAN MAPIGO: Kuwa wa kwanza kuhabarika, Tafadhari usisahau kusubscribe kushare na kucomment
Top News
Tags:
Top News
Subscribe to:
Post Comments (Atom)


No comments:
Post a Comment