Adbox

Saturday, July 13, 2019

Rais Museveni awasili Chato

Rais wa Jamhuri ya Uganda,  Yoweri Kaguta Museveni afanya Ziara Binafsi ya siku 1 moja hapa nchini.

Rais Museveni anamtembelea Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli kijijini kwake Mlimani katika Wilaya ya Chato Mkoani Geita.

Akiwa Chato, Rais Museveni atafanya mazungumzo na mwenyeji wake Rais Magufuli

No comments:

Post a Comment

Adbox