Adbox

Sunday, July 14, 2019

Rais Magufuli afanya uteuzi huu

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amemteua Julius Mtatiro kuwa mkuu wa Wilaya ya Tunduru, Mkoani Ruvuma na Juma Homera kuwa Mkuu wa Mkoa wa Katavi.

No comments:

Post a Comment

Adbox